Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara CocoBeach wachekelea baada covid19

Wednesday , 9th Sep , 2020

Wafanyabiashara katika fukwe za Coco jijini Dar es Salaam wamesema kuwa hali ya biashara imeanza kurejea tofauti na miezi mitatu iliyopita wakati wa janga la Covid 19 lililosababisha watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani na hivyo kupunguza idadi wa wateja katika eneo hilo.

Mmoja wa wafanyabiashara katika eneo la Coco Beach akiandaa sharobati ya miwa.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao Bernard Mwinuka na  Ashrafu Mwalami wamesema kuwa, kwa sasa hali imechangamka kwani Watu wameanza kufika katika fukwe hizo kwa wingi tofauti na kipindi cha miezi mitatu ambapo wamefafanua kupata hasara kiasi kilichosababisha wengi wao kupoteza mitaji yao.

Wamesema licha ya wateja wao wengi kuwa ni raia wa Tanzania lakini eneo hilo lililikuwa kivutio kikubwa kwa watalii kutoka nje ya nchi ambao hupendelea kutembelea fukwe hizo pamoja na kupata huduma zitolewazo eneo hilo ikiwa ni pamoja na kitoweo cha mihogo na bidhaa za kitamaduni.

“Kipindi cha mlipuko wa Corona hali ilikuwa mbaya, ukweli tunashukuru jitihada zilizofanywa na serikali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virusi hivyo ikiwa ni pamoja na mikakati ya kujikinga ikiwemo unawaji wa mikono pamoja na uvaaji wa barakoa"amesema Mwinuka.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala