Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoa huduma mtandaoni wafundwa uchaguzi mkuu

Tuesday , 15th Sep , 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka watoa huduma ya habari mitandaoni kuwa makini na kuepuka joto la uchaguzi ambalo watu wengi hushindwa kustahimili hasa katika kipindi hiki cha kampeni za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Charles Mahera

Mapema hii leo Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Charles Mahera wakati akizindua kikao kati ya tume ya uchaguzi na watoa huduma ya habari mitandaoni amewataka pia kutumia kalamu zao kulinda amani iliyopo huku akionya kuwa tume inawauwezo wa kuwachukulia hatua wadau wa uchaguzi wasiozingatia mioangozo ya maadili iliyosainiwa.

Aidha, vijana wametakiwa kujiajiri kwenye sekta hiyo huku wakizingatia kuheshimu taratibu za usajili zilizowekwa na mamlaka mbalimbali ikiwemo Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) huku wakikumbushwa jinsi NEC inavyoendelea kuweka uwanja sawa kwa washiriki wote wa uchaguzi mkuu ujao. Ambapo baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wamesema yamekuja katika wakati mzuri.

Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesema lengo la kikao hicho kwa watoa huduma ya habari mitandaoni ni kuongeza kukumbushana kuwa kuna maisha mengine baada ya uchaguzi mkuu hivyo ni muhimu kutumia lugha yenye staha kipindi chote cha uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 28,2020.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi