Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmachinga wafurahia ahueni waomba kuongezwa muda

Tuesday , 15th Sep , 2020

Wafanyabiashara wadogo wadogo ambao walinufaika na vitambulisho vilivyotolewa na serikali kwa ajili ya kuwasaidia kutambulika rasmi katika ulingo wa biashara wametaka wale waliofanikiwa kupitia mkakati huo na kukua kuwaachia wengine ili waweze kunufaika.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao wamesema kuwa vitambulisho hivyo vimekuwa na manuifaa makubwa katika uendelezaji wa biashara zao ikiwemo kupunguza usumbufu ambao waliokuwa wanaupata kutoka kwa mgambo wa Jiji ikiwa ni pamoja na kuwafikia wateja kwa urahisi zaidi hivyo kutaka waliionufaika na kupanda ngazi kibiashara kutoa nafasi kwa wengine kuweza kupata vitambulishi hivyo.

Wamesema licha ya mafanikio waliyopata hadi sasa suala la wateja bado limekuwa chachu kwa maendeleo kutokana na ongezeko la wafanyabiashara wa aina moja za biashara katika sehemu moja hivyo kuomba kuboreshewa kwa kupatiwa maeneo kulingana na aina za biashara pamoja na kupatiwa mafunzo zaidi ya namna ya kujiendeleza na kuwafikia wateja kulingana na mahitaji ya mlaji.

"Vimetusaidia sana kwakweli adha tuliyokuwa tunapata mwanzo hatupati tena, ila tunaombi vitambulisho viwe vya mwaka mmoja sio miezi sita kama ilivyosasa na wengine wanaopata wawe waaminifu" alisema Mustapha Mmoja wa wafanyabiashara

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ