Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KMC kuwafuata Mwadui, Kagera Sugar leo

Thursday , 17th Sep , 2020

Timu ya Manispaa ya Kinondoni, KMC FC leo inaondoka kuelekea Mkoani Shinyanga kwa ajili ya kucheza mchezo wao watatu dhidi ya Mwadui FC ya Mkoani humo.

Wachezajin wa KMC FC wakiwa mazoezini uwanja wa Uhuru Dar es salaam

KMC inakwenda kucheza mchezo wake wa kwanza kwa mechi ya ugenini na kwamba inajipanga katika kuhakikisha kuwa inafanya vizuri katika mchezo huo kama ilivyokuwa katika michezo miwili iliyopigwa katika Dimba la Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Timu hiyo ambayo hivi sasa inaongoza ligi, mbali na mchezo huo wa Mwadui FC lakini pia itacheza mchezo mwingine na Kagera Sugar katika Uwanja wa Kaitaba Mkoani Kagera Septemba 25 mwaka huu.

Timu ya KMC FC katika msafara huo, itaondoka na wachezaji 22 huku wachezaji sita wakiachwa akiwemo Sadalla Mohamed Lipangile ambaye ni majeruhi lakini Afya yake ikiwa inaendelea kuimarika vizuri.

KMC inakwenda kukutana na Mwadui katika uwanja wa Mwadui Complex na kwamba inatarajia kuwasili mkoani humo Septemba 19 na na hivyo itapumzika kabla ya kuanza kwa mazoezi mengine ya kujiweka tayari dhidi ya mchezo huo.

Katika michezo yake miwili ya nyumba, KMC FC ilifanya vizuri kwa kuanza kuifunga Mbeya City Magoli manne kwa sifuri, Tanzania Prisons magoli mawili kwa moja na hivyo kuiwezesha kusalia katika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania bara.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa