Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahukumiwa miaka 6 kwa kutembea na wanawake 19

Tuesday , 13th Oct , 2020

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Danny C Perry II (41) kutoka nchini Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la kutembea na wanawake 19 bila ya kutumia kinga na kutowaambia wanawake hao kama ana virusi vya ugonjwa wa Ukimwi.

Picha ya Danny C Perry II

Taarifa za polisi zinasema Danny C Perry II  aliweza kutembea na wanawake wasiopungua 19 kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, ambapo mpenzi wake wa kwanza alisema mwanaume huyo amekuwa akiishi na virusi hivyo tangu mwaka 2003.

Katika uamuzi wa Jaji wa makosa ya Jinai ya Mahakama kwenye Kaunti ya Davidson, Kate Boston amesema mtuhumiwa hakutumia kinga kwa makusudi wakati anajua ana virusi vya Ukimwi.

"Alikusudia kumuambukiza mtu na virusi vya ukimwi, alijua anaugua maradhi hayo, na alifahamu vyema kwamba angewakinga wenzake dhidi ya kupata ugonjwa huo. Lakini alichagua kuhatarisha maisha ya wenzake" amesema Jaji Kate Boston

Aidha kwa upande wa mmoja wa wapenzi wake wa zamani aitwaye Marvelyn Brown ametoa ushuhuda kuhusu tukio hilo na amefurahi kuona amefungwa kifungo hicho kwani aliambukizwa ugonjwa huo na mwanaume huyo.

Chanzo : Daily Mail, Metro

HABARI ZAIDI

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton