Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua Dar, zapelekea Samaki kuadimika sokoni

Friday , 16th Oct , 2020

Mvua zilizonyesha Jijini Dar es Salaam zinadaiwa kuathiri upatikanaji wa samaki kutokana na wavuvi wengi kushindwa kuingia baharini hali iliyoleta adha kwa wafanyabiashara wa samaki mtaani licha ya changamoto zingine zinazowakabili.

Wavuvi wakiwa baharini.

EATV imefika eneo maarufu kwa ukaangaji wa samaki aina ya ngisi, pweza na kadhalika Mwananyamala A na kuzungumza na takribani zaidi ya vijana thelathini ambao kwa pamoja wameamua kufanya biashara hiyo wakieleza ugumu ambao wamekutana nao kwa sasa mara baada ya kuanza kwa mvua.

Aidha, wamebainisha kuwa wao kama vijana wamelazimika kuungana ili kuhakikisha wanaacha kujihusisha na vitendo viovu huku wakiomba serikali na wadau kuwasaidia changamoto za eneo la biashara wanalofanyia kazi ili wazidi kujikwamua kiuchumi.

Bado zipo changamoto nyingi ambazo zinatajwa kuwakwamisha vijana wengi wanaoanza biashara ikiwemo kutokuwa na dhamana za wao kukopesheka.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala