Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli asema neema inakuja kwa wafanyakazi

Tuesday , 20th Oct , 2020

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 20 Oktoba akiwa Korogwe (Tanga) amewambia mamia kwa maelfu ya waliojitokeza kumsikiliza kuwa kwa miaka mitano ijayo wafanyakazi wataboreshewa maslahi yao na kuongeza kuwa malimbikizo yao

Pichani ni Dkt John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM.

 yote yanaendelea kushughulikiwa.

Huku akishangiliwa na hadhira hiyo, amezitaja sababu za kutoboresha maslahi ya wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita kuwa ilikuwa ni kuboresha kwanza uchumi wa nchi, kuondoa wafanyakazi hewa, kuimarisha mifumo ya ukusanyaji kodi ili kuongeza mapato ya nchi.

"Kwasababu uchumi umeimarika, mapato yamekuwa mazuri na miundombinu mingine yote tumemaliza afya, mabarabara na maji  tunaendelea kutengeneza, elimu bure tunaendelea kutoa sasa katika kipindi cha miaka mitano itakuwa kazi pia ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania, unaanza uchumi kwanza ndipo utapandisha mishahara, huwezi kupandisha mishahara wakati huna hela ya  kupandisha mishahara" Dkt. John Magufuli

Aidha Magufuli amebainisha kuhusiana suala la serikali kuajairi ''Tumeajiri wafanyakazi zaidi ya 74 elfu katika kipindi cha miaka mitano, walimu zaidi ya 17 elfu, sekta ya afya zaidi ya 14 elfu na wafanyakazi pia katika sekta nyingine''.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala