Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Covid-19 yaipa hasara ya bilioni 211 Man United

Wednesday , 21st Oct , 2020

Klabu ya Manchester United imetangaza kupata hasara ya pauni milion 70 zaidi ya bilion 211 za kitanzania, katika mapato yake ya mwaka ikiwa ni sehemu ya athari za Covid-19.

Man United imetangaza kupata hasara ya bilioni 211 ikiwa ni athari za Covid-19

Mapato ya Manchester United yameshuka kwa asilimia 20 ukilinganisha na mwaka wa fedha uliopita.

Mapato ya Man United kwa mwaka wa fedha wa 2019-20 ambao ukomo wake ulikuwa mwezi Juni 2020, umekuwa ni mwaka ambao wamekusanya kiwango cha chini cha mapato tangu mwaka wa fedha wa 2014-15 ambao walikusanya pauni milion 395.2 zaidi ya Trilioni 1 kwa fedha za kitanzania.

Mapato kwa ujumla ya Manchester united kwa mwaka wa fedha wa 2029-20 ni pauni million 509, zaidi ya Trilioni 1.5 kwa pesa za kitanzania, ikiwa ni mporomoko wa asilimia 18 ukilinganisha na msimu uliopita ambapo walikusanya pauni million 627.1 sawa na Trilioni 1.9.

katika mchanganuo huo unaonyesha pesa za haki za matangazo ya televisheni imeshuka kwa asilimia 41.9, kutoshiriki michuano ya ligi ya mabingwa msimu uliopita ni moja ya sababu mapato ya televisheni kushuka.

Lakini pia mapato yaliyokuwa yanapatikana siku za michezo yamepungua kwa asilimia 19  kutokana na michezo kuchezwa pasipo na uwepo wa mashabiki toka mwezi Machi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi