Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa Dini watoa ujumbe huu kwa wagombea

Wednesday , 21st Oct , 2020

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020, wanasiasa wameaswa kutotumia lugha za matusi, vitisho na kejeli ili kumaliza mchakato huo salama bila kuivuruga amani iliyopo nchini.

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadj Mussa.

Hayo yameelezwa na viongozi wa dini mbalimbali nchini, katika Kongamano la Amani la Viongozi wa Dini Jijini Dar es Salaam ambapo wamesema kuwa wagombea wanahitaji kuwaunganisha wapiga kura na sio kuwaganya.

Aidha, viongozi hao wamewahimiza wanasiasa kusameheana katika kipindi hiki kwani amani na umoja ndio mtaji wa maendeleo ya taifa.

"Katika kipindi hiki ni lazima kusameheana kwa wale waliokwaruzana kwenye kampeni sameheaneni ili tuvuke salama katika mchakato huu. Amani na Umoja ndio mtaji wa Maendeleo", amesema Askofu Malasusa.

"Wagombea tunawasihi wamtangulize Mungu na hata ukikosa tambua ya kuwa ni kheri kwako", amesema Sheikh Alhad.

"Tujitahidi kutumia kauli zenye busara katika kipindi hiki, tuepushe maneno yatakayoweza kuhatarisha Amani yetu katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu", amesema Askofu Kakobe.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi