Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watano kizimbani kwa kosa la mauaji

Monday , 30th Nov , 2020

Watu watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, wakikabiliwa  na shtaka la kumuua mtu mmoja  aliyejulikana kwa jina la Jan Mathias Samuel.

Washtakiwa hao ni pamoja na Mohamed Mzee (23) mkazi wa magomeni makuti, Wilson Mauga (30) mkazi wa Kunduchi, Deus Kasuga (26) mkazi wa Mwananyamala, Yusuph Mwakalinga (30) mkazi wa Magomeni Usalama na Anderson Maloloso (49) ambae pia ni mkazi wa Magomeni Usalama.

Washtakiwa hao wamesomewa shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi, Lilian Silayo na wakili wa serikali, ASP Hamis Said ambapo washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kuwa haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo na kesi hiyo imeahirishwa hadi Desemba 14,mwaka huu.

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka inadaiwa kuwa  Agosti 17, mwaka 2012 eneo la Kinondoni jijini Dar-es-Salaam, washtakiwa walidaiwa kumuua mtu aliyejulikana kwa jina la Jan Mathias Samuel.
 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala