Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai aeleza kinachoendelea sakata la wabunge 19

Monday , 30th Nov , 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa wabunge wote ambao tayari wamekwishaapishwa, wanatambulika kwamba ni wabunge kamili wakiwemo hata wale wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao wamefukuzwa uanachama na chama chao.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 30, 2020, mara baada ya kuwaapisha wabunge wawili walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ambao ni Hamphrey Polepole na Riziki Lulida.

"Wabunge wote wa Bunge la 12 tuliowaapisha tunaendelea kuwatambua kwamba ni wabunge kamili wote ikiwa ni pamoja na wale 20 wa chadema, 19 wa viti maalum na yule mmoja aliyechaguliwa, Mh. Aida Khenani, nashangaa wanawasonga tu hawa 19 yule mmoja wamemgwaya wakiweza wamfukuze basi", amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai amempa onyo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, kuacha tabia yake ya kuwadhalilisha wanawake hadharani, "Hamjui kwanini wale 19 wamepitia mapito gani, hamjui kwanini imekuwa hivyo, yako mambo hatuwezi kusema humu, viko vyama ni kampuni ya mtu, mtu ni Mungu mtu  bila yeye hakiwezekani chochote, namuambia hawa 19 ni wabunge labda wao kwa kutumia utaratibu wa kikatiba wajiuzulu, lakini kwa yeye na Mnyika wake wale ni wabunge". 

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi