Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rasmi Yanga yapokea rasimu kutoka La Liga

Wednesday , 2nd Dec , 2020

Mwenyekiti wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga SC, Wakili Alex Mgongolwa, leo Desemba 2, 2020 amekabidhi rasmi kwa uongozi rasimu ya awali ya mfumo wa mabadiliko.

Akiongea kabla ya kukabidhi rasmi hiyo ambayo imeandaliwa kwa ushirikiano wa kamati hiyo na kamati ya La Liga pamoja na washauri mbalimbali wa ndani na nje ya Nchi, Mgongolwa amesema sasa rasmi klabu inarudi kwa wananchi.

''Tuna vipaumbele viwili kwenye rasmi yetu ya mfumo wa mabadiliko, kutakuwa na Menejimenti imara ili kuwa na taasisi bora lakini pia Wanachama wetu hatujawaacha nyuma, wao kitaalam wametambulika kama 'Fans Engagement' ambao wanatambulika rasmi na mfumo'' - Alex Mgongolwa.

Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga Mhandisi Hersi Said amesema, ''Leo Yanga SC tunaandika historia kwa kuleta mfumo wa uendeshaji wa klabu yetu kutoka kwenye Dunia ya kwanza kwenye soka kwa maana ya La Liga Hispania''.

Hersi ameongeza kuwa, ''Mfumo huu unakwenda kuirudisha klabu kwa wanachama na wao ndio watakuwa wamiliki halali wa klabu na baada ya mfumo kukamilika, niwahakikishie tu watu wote sio tu Tanzania bali Afrika nzima watakuja kwetu kujifunza''.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Yanga Dkt. Mshindo Msolla, amepokea rasimu hiyo na kuikabidhi kwa Mshauri wa Mabadiliko wa klabu hiyo Senzo Mbatha ili aipitie na mchakato uendelee.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma