Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampuni ya Icea Lion yaboresha huduma ya bima

Saturday , 5th Dec , 2020

Katika kuendelea kuifanya nchi kuwa  ya uchumi wa kati, makundi mbalimbali yakiwemo ya wafanyabiashara, wafanyakazi na wakulima wametakiwa kukata bima ikiwemo bima ya makazi, afya, mazao pamoja na vyombo vya moto ili kujihakikishia usalama wa mali zao.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana,Dkt Phillis Nyimbi

Hayo yamebainishwa jijini Mwanza na Meneja wa bima kanda ya Ziwa Sharif Hamad, kwenye hafla iliyofanywa na kampuni ya bima ya Icea Lion, ambapo makundi hayo yametakiwa kjiunga na bima ili  kuepukana na kununua ama kufanya marekebisho ya mara kwa mara.

Awali akifungua hafla hiyo kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, mkuu wa wilaya ya Nyamagana Dkt Phillis Nyimbi, amesema makundi  mbalimbali yakiwemo ya wafanyabiashara na wakulima yanatakiwa kupewa elimu ya namna ya kukata bima.

Kampuni ya bima ya Icea Lion, imekuwa ikitoa huduma ya bima kama bima ya ujenzi, magari, biashara, safari, usafirishaji, viwanda, vituo vya mafuta bima ya moto kwa nyumba binafsi na viwandani, bima za meli, ndege, wizi na bima nyingine.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ