Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za wanaume kufa mapema kuliko wanawake

Tuesday , 8th Dec , 2020

Kupitia kipindi  cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Msaikolojia Isaack Kimario amefunguka sababu zinazolepelekea wanaume kuwahi kufariki na kuacha wake zao pale wanapokuwa kwenye ndoa.

Picha ya mkono wa mwanaume akiwa tayari ameshafariki

Kwanza Isaack Kimario amesema sehemu ya Ubongo ya wanawake imeumbwa kufikiria 'future' na kuwaza mambo yaliyopita hivyo ni tofauti kidogo na wanaume pia hufanya kazi haraka zaidi ya wanaume.

Sasa akitaja sababu hizo ameeleza kuwa "Kulingana na Taasisi ya Kisaikolojia inaeleza kuna sababu ambazo zinasababisha wanaume kufa haraka zaidi ya wanawake na hilo limekaa kibaiolojia na kisaikolojia, sababu ya kwanza ni asili na homoni ambazo wanazo zinawafanya wasipate magonjwa kama ya moyo, ambazo homoni hizo sisi tunazikosa

"Sababu nyingine ni wanaume kujiweka kwenye 'risk' kubwa ya kupata athari za afya, kwa mfano michezo ambayo tunacheza kama rugby au magari ni michezo ambayo inahatarisha uhai tofauti na michezo ya wanawake , risk hiyo husababisha kufariki haraka"

"Wanaume tunashindwa kudhibiti tabia fulani ambazo zinaweza kuathiri afya zetu na tabia hatarishi kama kuvuta sigara, kunywa pombe kupita kiasi, na madawa ya kulevya. Takwimu zinaonyesha wanaume ndiyo tunakuwa tunaathirika zaidi

"Kingine ni wanaume kujifanya wapo juu ya wanawake, uwanaume huo tunaokuwa nao unatufanya tuone matatizo tunaweza kuyatatua wenyewe na hatuwezi kumwambia mwanaume mwenzetu au mwanamke inasababisha tufe kwa Stress au huzuni"

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi