Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yasajili mshambuliji wa Nigeria

Monday , 25th Jan , 2021

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Junior Lokosa raia wa Nigeria. Mkataba wa mchezaji huyo haujawekwa wazi kasaini mkataba wa muda gani na sasa safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania bara inafikisha idadi ya washambuliaji 4.

Junior Lokosa anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020

Lokosa mwenye umri wa miaka 27 anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru mara baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020. Huu unakuwa ni usajili wa 3 kwa klabu ya Simba katika dirisha hili dogo la usajili, baada ya kuwasajili viungo Perfect Chikwende kutoka FC Platnum ya Zimbabwe na Taddeo Lwanga raia wa Uganda.

Usajili wa Lokosa anakamilisha idadi ya washambuliaji 4 kwenye kikosi cha mabingwa wa Tanzania bara, anaungana na John Bocco, Meddie Kagere na Chris Mugalu.

Kwa sasa kikosi cha Simba kinanolewa na kocha mfaransa Didier Gomes Da Rosa, ambaye alitambulishwa hapo jana akichukua mikoba ya kocha Sven Vandenbroeck aliyetimkia AS FAR ya Morocco, Simba inafanya usajili huu ikiwa ni katika harakati za kuhakikisha wanafanya vyema kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika ambapo wamejiwekea malengo ya kufika hatua ya nusu fainali msimu huu.

Simba imepangwa kundi A’ Sambamba na mabingwa wakihistoria na watetezi Al Ahly ya Misri, AS Vital Club ya Congo na AL Merrikh ya Sudani.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari