Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyetelekezwa na mume kisa mtoto asaidiwa

Monday , 1st Feb , 2021

Siku chache zilizopita baada ya baadhi ya vyombo vya habari  kufanya kipindi na Zuhura Shabani (32) ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja aliyetelekezwa na mume wake kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ulemavu wa mtoto wake hatimaye apewa msaada na MERIDIAN BET.

Zuhura Shabani akikabidhiwa msaada kutoka Meridianbet

Akizungumza wakati akikabidhi msaada huo Mkuu wa Utawala wa kampuni ya michezo ya kubashiri MERIDIAN BET Cornelius Boenman amesema kampuni yao imekuwa ikishiriki katika jamii kwa lengo la kuwasaidia wenye uhitaji.

Naye Meneja ustawi wa MERIDIAN BET Amani Maeda amesema wao kama kampuni wameguswa na matatizo aliyonayo Zuhura Shabani hivyo wakaamua kumsaidia mtaji wa biashara.

Kwa upande wake Zuhura ameishukuru Kampuni ya Meridian Bet kwa msaada huo ambapo amesema utasaidia kumuwezesha kufungua saluni ya kike ambayo iasaidia kumlea yeye pamoja na mtoto wake.

"Naishukuru sana Kampuni ya Meridian Bet kwa moyo mlioonesha wa kunisaidia kiasi hiki cha pesa, naahidi pesa hii mliyonipatia nitaitendea haki, nitafungua Saluni kama nilivyosema najua saluni itanisaidia kuendesha maisha yangu na mwanangu na kunipunguzia kutembea mtaani na kuomba omba msaada, Mungu awabariki muendelee na moyo huo huo", alisema Mama huyo.

Zuhura Shaban amebahatika kupata mtoto wa kiume anayeitwa Eklam ambaye alizaliwa na matatizo ya utindio wa ubongo na kusababisha kushindwa kukaa, kusimama wala kufanya chochote jambo lililofanya mume wake kumtelekeza yeye na mtoto.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma