Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Kufungwa kwa biashara zaidi ya 600

Monday , 15th Feb , 2021

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeombwa  kutoa elimu ya mlipa Kodi kwa wafanyabiashara ili kupunguza changamoto zilizopelekea zaidi ya biashara 600 kufungwa kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Baadhi ya wafanyabiashara walioudhuria semina ya elimu ya mlipa kodi iliyokuwa inaendeshwa na TRA , mkoani Geita.

Ombi hilo limetolewa na baadhi ya wafanyabiashara mkoani Geita wakati wa semina ya elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara na waandishi wa habari iliyokuwa inaendeshwa na mamlaka hiyo.

Kwa mujibu wa wakili Renatus Malecha amesema kama wananchi wangejua kiasi gani cha kodi wanatakiwa kulipa ingeweza kuwasaidia watu wasiwe wanafunga maduka kwani  kutotoa elimu ndio sababu ya wananchi wengi washindwe kulipa kodi kwa wakati na mara wasipolipa wanotozwa faini na TRA ambayo hounekanana kama kodi.

Aidha Kwa upande wa Meneja wa TRA katika mkoa huo Hashim Ngoda ameeleza sababu iliyopelekewa biashara hizo kufungwa"Biashara zilizofungwa mkoani Geita zipo kama mia sita na sitini hivi kwa mwaka 2020, lakini katika biashara hizo zilizofungwa hakuna hata biashara moja ambayo sababu ya kufungwa kwake ilikuwa ni kodi, waliokuwa na changamoto za kodi tumekuwa tukiongea nao, biashara hizo hazikufungwa kwasababu ya kodi bali kwasababu mbalimbali ambazo zimekuwa zinaandikwa kwenye barua zao" amesema Hashim Ngoda

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja