Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kundi la fisi lashambulia wananchi Geita

Monday , 15th Feb , 2021

Watoto wawili wamefariki dunia na watu wanne kunusurika kifo baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na kundi la fisi ambao wamekuwa wakiingia mara kwa mara vijijini, wakati wakitoka shambani  wilayani Nyang'hwale mkoani Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Wilson Shimo

EATV ilifika Wilayani humo na kuzungumza na baadhi ya viongozi wa kijiji ambao wamesema matukio ya fisi kuvamia kaya za watu yamekuwa yakijitokeza mara nyingi hali inayopelekea wananchi kuishi kwa mashaka kwa kuhofia uhai wao.

"Hii hali ipo wiki mbili zilizopita hapo bupamba aliliwa mtoto wa mika kama nanae hivi na fisi usiku akamalizwa kabisa, yametokea matukio mawili moa nyaghamila na moja hapa izingwa, hukun lilishambuliwa watu wazima" amesema Mtemi Saleh Nzera Kiongozi wa Kimila.

"Jana nilipata habari kuna mtoto kangatwa na fisi akiwa anatoa mahindi ya kwenda kupika chakula cha jioni ilikuwa majira ya saa kumi na moja jioni akawa maejeruhiwa na yuko hospitalai anaendelea na matibabau kwahiyo hii hali inazidi kutodhoofisha katika mipango yoyote ya kimaendeleo" amesema Kafola Vicent Mwenyekiti wa Kitongoji Butalanda

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Mariam Chaurembo amekiri uwepo wa kundi la fisi wanowashambulia watoto nakusema kuwa tayari wadau wanaohusika na wanyama pori washawasili wilayanai hapo kwa ajili ya kuwawinda na tiyari wameshakamata fisi sita akisema kuwa tiyari wameshawaruhusu wanakijiji kuiwawinda fisi hao ili waweze kuuwawa kutokana na kukithiri kwa matukio hayo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Wilson Shimo amesema wameshatoa tahadhari kwa wananchi waweze kuwatunza watoto hususan katika kipindi cha jioni na asubuhi wasiwe wanatembea wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi