Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC kuwasweka wafugaji mahabusu siku 10

Monday , 22nd Feb , 2021

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali amesema atawachukulia hatua za kisheria wafugaji wakorofi wanaolisha mifugo yao kwa makusudi kwenye mashamba ya wakulima kwa kuwaweka mahabusu kwa siku 10  ili iwe fundisho kwa wafugaji wengine wasioheshimu jasho la wakulima.

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali

Kali ameyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Nyashimbi wilayani humo mkoani Mwanza lengo likiwa ni kutafuta ufumbuzi wa migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

"Ng'ombe wa mfugaji wakiingia kwenye shamba na akawa jeuri kamata mwenye ng'ombe niletee ofisini kwangu OCD atamuhifadhi kwa maelekezo yangu na ntampeleka kwenye kambi ya gereza akae siku kumi ndo tumtoe aende mahakamani, sitakubali na hii iwe fundisho kwa mfugaji yeyote katika wilaya yangu ya Magu" amesema DC Salum

Kwa upande wa wakulima wamebainisha changamoto iliyopo baina yao na wafugaji ni kutokuheshimiana kwenye kazi zao ilihali wao ni kama mtu na mdogo wake.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji