Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Dk. Mpango alivyotoa chozi leo

Tuesday , 23rd Feb , 2021

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango, leo ametoa machozi wakati akikumbuka ndugu, rafiki na viongozi wenzake waliotangulia mbele za haki akiwemo Mhandisi Atashasta Nditiye na Prof. Benno Ndulu pamoja na Balozi John Kijazi.

Waziri wa Fedha na Mipango (katikati), Dkt. Philip Mpango,na pembeni yake ni madaktari wa hospitali ya Benjamin Mkapa waliokuwa wakimhudumia

Hayo yamejiri hii leo Februari 23, 2021, Jijini Dodoma, wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya madaktari wa hospitali ya Benjamin Mkapa, kujiridhisha kwamba afya yake imeimarika na anaweza kuendelea na majukumu ya kulijenga taifa.

"Nimekaa hapa nikihudumiwa na hapa peke yake ni zaidi ya siku 10 na nilikuja na mtungi kabisa wa Oksijeni na leo ni siku ya tatu sijagusa kabisa mtungi wa Oksijeni kwa kweli nataka niwaambie Watanzania afya yangu imeimarika,” alisema Waziri Dk. Mpango.

Aidha Waziri Dk. Mpango ameongeza kuwa "Acheni Mungu aitwe Mungu tuendelee kumtukuza na kumuomba yeye ndio muweza wa yote namshukuru sana kwa huruma yake najua ananipa nafasi ya kuendelea kuitumikia nchi kwa nafasi ya pekee sana napenda kumshukuru Rais Dk. John Magufuli na familia yake nitasema tu ukweli hakuna siku ambayo Mh. Rais hakunipigia simu si mara moja si mara mbili".

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma