Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilitaka nitoe demo kwa RC hadi Mwenyekiti"- JPM

Wednesday , 24th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempongeza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, kwa hatua za haraka alizozichukua za kuanza kujenga shule ya msingi King'ongo ambayo majengo yake yalikuwa yamechakaa na wanafunzi kukaa chini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 24, 2021, jijini Dar es Salaam, wakati akizindua barabara za juu za Ubungo, ambazo ameelekeza ziitwe barabara za juu za Kijazi, ikiwa ni hatua ya kumuenzi aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, aliyefariki dunia hivi karibuni.

"Ninashukuru RC ulivyohamia kwenye ile shule lakini kwakweli ile shule ingekuwa mpaka leo haijajengwa nilitaka nitoe demo ningeanzia mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi, mpaka mwenyekiti wa kijiji sababu wananchi hawa waliotuchagua wanataka waone matokeo ya yale tuliyoyaahidi", amesema Rais Magufuli

Aidha Rais Dkt. Magufuli, ameongeza kuwa "Kwahiyo mkuu wa mkoa nakushukuru malaika walikugusa ukawahi haraka haraka, nikawa nakuangalia nikasema Kunenge oyee!, kwa sababu mkuu wako wa wilaya alikuwa kashaanza kulalamika kwamba hawa wanatumiwa"

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi