Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli aeleza alivyoambiwa Bashiru ni CUF

Thursday , 25th Feb , 2021

Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amesema wakati Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally alipoanza kufuatilia mali za chama aliambiwa ni mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF).

Rais Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally

Akiongea leo Jijini Dar es Salaam baada ya kuzindua jengo la Jitegemee linalomilikiwa na chama hicho ambalo limefanyiwa ukarabati, amesema hayo ni matokeo ya jitihada za Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru.

''Ufisadi ulikuwa umeshamiri, mali za chama zilikuwa zimeshaanza kuchukuliwa na watu binafsi lakini nilipomteua Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu na akaanza kuzifuatilia watu wakasema ni CUF na mimi nikasema nataka CUF wa namna hii ndani ya CCM,'' alisema Dk. Magufuli.

Rais Dk. Magufuli leo Februari 25, 2021 anaendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Dar es Salaam na na shughuli zingine anazofanya leo ni kuzindua soko la Kisutu Jijini Dar es Salaam kisha atahutubia wananchi katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala