Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diaspora wenye fedha kufuatiliwa 

Monday , 1st Mar , 2021

Serikali imesema kuwa kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, itahakikisha inawafuatilia Watanzania wenye fedha wanaoishi nje ya nchi ili waweze kuja kuwekeza hapa nchini kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi.

Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo

Kauli hiyo imetolewa leo Machi Mosi, 2021, na Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio na kuwasisitiza Watanzania kufanya uwekezaji ndani ya nchi bila kusahau suala la ulipaji wa kodi.

"Kwenye sekta ya uwekezaji tunachokifanya kwa sasa moja ya mkakati wetu tunalenga watu, na mmoja wa mtu ambaye tumemlenga ni Diaspora, kuna Watanzania wengi wanaishi nje ya nchi wamekaa miaka 10 hadi 30 wanahela huko, kwanza tunaanza kuwatambua kupitia Wizara ya Mambo ya Nje Watanzania wanaoishi nje wenye visenti ili waje kuwekeza," amesema Prof. Mkumbo.

Akizungumzia suala la ulipaji wa kodi, Prof. Kitila, ameitaka Mamla ya Mapato nchini (TRA), kudai kodi kwa ustaarabu, "Ni lazima wenzetu wanaokusanya kodi watoe taarifa sahihi, lakini pia wajue kukusanya kodi ni 'customer care' siyo waende kipolisi, kwa hiyo watu wa TRA ifike mahala wajue kwamba Watanzania wengi ni wazuri waende kudai kodi wakijua huyu atalipa".

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala