Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule zakutwa na mabweni kama magofu

Monday , 8th Mar , 2021

Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Rashid Mwaimu, kwa kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kagera, wamezifungia shule mbili za msingi ambazo ni Kido na Talent kutoa huduma ya bweni, kutokana na majengo yanayotumika kuwalaza wanafunzi kuwa na hali mbaya isiyofaa kutoa huduma hiyo.

Moja ya bweni walilokuwa wakilala wanafunzi

Shule hizo mbili za msingi ambazo usajili wake ni wa kutwa lakini zimebainika kulaza watoto kimya kimya, zimegundulika katika ukaguzi uliofanywa na jeshi la zimamoto na uokoaji kuanzia Februari 05 hadi 23 mwaka huu, unaolenga kubaini kama wamiliki na wasimamizi wa shule wanazingatia kinga ya ajali za moto katika shule.

Akizungumza baada ya ukaguzi huo Kaimu Mkuu wa jeshi hilo mkoa wa Kagera, Mkaguzi Thomas Majuto, amesema kuwa katika ukaguzi huo baadhi ya shule walikuta zina mapungufu kidogo yanayoweza kurekebishika, lakini nyingine zimekutwa miundombinu yake imeharibika na haifai kulaza wanafunzi.

Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Rashid Mwaimu, amewataka wamiliki na wasimamizi wa shule zilizokaguliwa na kubainika kuwa na mapungufu ikiwamo kutokuwa na ving'amua moto na vizimia moto, kutakiwa kubadilisha milango na kuweka milango ya dharura kwa mabweni yenye mlango mmoja, kufanya marebisho hayo katika muda waliopewa, vinginevyo watachukuliwa hatua zaidi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa