Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mapenzi mwisho miaka miwili au mitatu" - Justus

Thursday , 11th Mar , 2021

Msaikolojia Justus August amesema mwisho wa kudumu kwenye mahusiano ya kawaida ni miaka miwili mpaka mitatu na ikivuka baada ya hapo basi inakuwa ni bahati kwani yanakuwa tayari yameshavunjika.

Msaikolojia Justus August

Akizungumzia hilo kwenye show ya DADAZ ya East Africa TV Justus August amesema hivyo kwa sababu ni ngumu kwenye mahusiano kukutana na mtu aliyekamilika kwa asilimia mia.

"Avarage time ya watu wa kudumu kwenye mapenzi ni miaka miwili mpaka mitatu, ikipita zaidi ya hapo basi utakuwa na bahati sana, kama unabisha angalia mahusiano mengi yanavunjika baada ya muda gani japo wengine wapo lakini hawapendani

"Kibaiolojia Wanaume tunaongozwa na tamaa yaani tunatamani sana na ndizo zina-take action kwetu, mwanamke yeye anaongozwa na hisia ambazo zinampanda mdogomdogo kama unamtaka kwa kutumia zawadi, ujumbe mzuri, surprise na vishawishi vingine" ameongeza Justus August 

Pia amesema kwenye mahusiano mkianza kuongelea matatizo kuliko malengo ni dalili za kuvunjika na dalili zingine ni kama kutopewa kipaumbele na kupuuza yale uliyokuwa unafanya au unafanyiwa mwanzo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto