Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba auwa mke, mtoto na yeye kijiuwa

Tuesday , 30th Mar , 2021

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linaendelea kuchunguza tukio la vifo vya watu watatu lililotokea Machi 26, 2021, saa 9:00 usiku katika kijiji cha Mayondwe wilayani Muleba.

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi

Katika tukio hilo baba wa familia aliwaua mke wake na mtoto wake mmoja kwa kuwakata sehemu mbalimbali za miili yao na kisha naye kujiua kwa kujinyonga kwa shuka.

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi ametaja waliopoteza maisha kuwa ni Editha Martin (48) na Sawia Sudi (25) ambao walikatwa kwa panga na mtuhumiwa Sudi Mwamandi (49) ambaye baada ya kufanya mauaji hayo alijinyonga kwa kujitundika juu ya mti kwa kutumia shuka.

Kamanda Malimi amesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia, uliotokana na mke wa mtuhumiwa Editha Martin na mtoto wake Sawia Sudi kubadilisha dini kutoka Uisilamu na kuwa Wakristu.

"Kitendo hicho inaonekana kilimkasirisha sana baba wa familia, na mama alipoona ugomvi umezidi alihama na kwenda kuishi sehemu nyingine, na siku ya tukio mtuhumiwa huyo alivamia katika nyumba walikohamia na kumkuta mke wake ambaye alimkata kwa panga na wakati akitoa alikutana na binti yake naye akamkata kwa panga na kusababisha vifo vyao papo hapo", amesema.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi