Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha BongoMovie kuwa na kashfa nyingi

Tuesday , 13th Apr , 2021

Msanii wa filamu na muziki wa HipHop kwa sasa Rose Ndauka amesema wasanii wa BongoMovie walipendwa sana na mashabiki ndio maana hata wakifanya mambo madogo yanachukuliwa kwa ukubwa.

Msanii wa filamu na muziki Rose Ndauka

Rose Ndauka amesema ujio wao ulikuwa mkubwa na wakati huo hakukuwa na mitandao ya kijamii kama Instagram, WhatsApp wala Facebook ila sio kwamba walikuwa na kashfa au visa vingi.

"BongoMovie tumependwa sana na mashabiki na ujio wetu ulikuwa mkubwa sana, wakati tunatoka kulikuwa hakuna Instagram, Facebook wala WhatsApp ilikuwa ni rahisi kufanya vitu hata vikiwa vidogo ila vinachukuliwa kwa ukubwa kwenye jamii ila haimaanishi kwamba BongoFleva au tasnia zingine hazifanyi visa" ameeleza Rose Ndauka

Aidha msanii huyo ameendelea kusema tatizo hilo la kuandamwa na kashfa nyingi iliwaumiza sana wasanii wa filamu ila anawaomba mashabiki waendelee kuiheshimu kazi hiyo.

Zaidi bonyeza hapa kutazama interview nzima

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala