Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harry Kane ashikiki EPL lakini hali aacha utata.

Saturday , 17th Apr , 2021

Mshambualiaji na nahodha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Harry Kane ameonesha kiwang o safi kwa kufunga mabao mawili yalioisaidia timu yake kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Everton usiku wa jana ugenini kwenye dimba la Godison park.

Mshambuliai Harry Kane, akionekana kwenye matukio tofauti tofauti.

Mabao hayo yamemfanya Harry Kane kufikisha maba0 21 na kuongoza orodha ya wafumania nyavu kwenye ligi kuu England mpaka sasa kwa msimu huu akifuatiwa na mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah mwenye mabao 19.

Kane pia amefikisha mabao 164 na kuwa mshambuliaji wa saba mwenye mabao mengi wa muda wote kwenye historia ya ligi hiyo ambayo inaongozwa na mshambuliaji wa zamani na Newcastle na timu ya taifa ya England, Alan Shearer mwenye mabao 260.

Baada ya kuonesha umahiri wa kupachika mabao na kuweka rekodi nyingine ya kufunga mabao kuanzia 20 na kuendelea kwa misimu mitano mfululizo, lakini nyota huyo alifanyiwa mabadiliko dakika ya 90+3 baada ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu na Delle Alli kuingia.

Utata uliosalia ni kwamba, bado hajajulikana nyota huyo ameumia kwa kiasi gani na lini atarejea uwanjani ambo linalomuumiza kichwa kocha wake Jose Mourinho kwani nyota huyo ndiye hodari wa kutengeneza mabao, mabao 16 kwenye ligi hiyo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa