Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Rais Samia kuhusu Corona Tanzania

Wednesday , 5th May , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu, amesema kuwa serikali imeanza mchakato wa kutafakari mbinu juu ya namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona, na kusisitiza kuwa wataalamu watakapotoa mapendekezo haitosta kushirikiana na Kenya katika kukabiliana na ugonjwa huo.

Rais Samia Suluhu Hassan, akihutubia Bunge la Kenya

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 5, 2021, nchini Kenya wakati alipohutubia mabunge mawili ya nchi hiyo, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizo mbili ambayo ameihitimisha hii leo.

"Tanzania sio kisiwa, kupitia kamati ya wataalamu niliyoiunda tumeanza mchakato wa kutafakari mbinu zaidi za kukabiliana na Corona wakati tunaendelea kusubiri mapendekezo ya wataalam tahadhari zote ikiwemo kusitisha safari kwenye maeneo ya milipuko zinachukuliwa kwa vyovyote itakavyopendekezwa lazima tushirikiane", amesema Rais Samia.

Aidha katika kudumisha mahusiano na nchi jirani, Rais Samia amesema "Rais Uhuru Kenyatta ni mtu wa kutimiza ahadi ili kuondoa mitazamo hasi tumepanga kukutana mara kwa mara maana ndugu wanaotembeleana hujenga ukaribu kuliko wasiotembeleana, umbali hujenga mashaka na ukaribu huondoa mashaka".
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala