Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga waifata Namungo FC kwa Ngege

Wednesday , 12th May , 2021

Kikosi cha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania bara Yanga SC, kimefika salama Mkoani Mtwara leo Asubuhi, ikiwa ni maandalizi kueleka mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Namungo.

Wachezaji wa Yanga Saidi Ntibazonkiza kulia na Fiston Abdul Razak kushoto wakiwa uwanja wa ndege wa Mtwara

Mchezo huu utachezwa siku ya Jumamosi Mei 15, 2021 katika dimba la Majaliwa huko Ruangwa mkoani Lindi. Yanga inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara ikiwa na alama 57 ikiwa ni tofauti ya alama 4 dhidi ya Simba amabao ndio vinara wa VPL, wakati Namungo wapo nafasi ya 11 wakiwa na alama 32.

Yanga itashuka dimbani kwa mara ya kwanza tangu Aprili 30 ambapo ilicheza mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons mchezo ambao walishinda kwa bao 1-0. lakini baada ya hapa walipaswa kucheza dhidi ya watani zao Simba Mei 8 mchezo ambao ulihairishwa kutokana na mkanganyiko wa ratiba na sasa utapangiwa tarehe mpya.

Namungo kwa upande wao kabla ya mchezo dhidi ya Yanga siku ya Jumamosi, leo wanakibarua Saa 10:00 jioni katika dimba la Majaliwa dhidi ya Mtibwa Sugar.

Na kwenye rekodi kuelekea mchezo wa Namungo dhidi ya Yanga zinaonyesha, kwenye michezo mitatu ya ligi waliokutana hakuna timu iliyoshinda mchezo hata mmoja michezo yote ilimalizika kwa sare ikiwemo mchezo wa mkondo wa kwanza msimu huu ambao ulimalizika kwa sare ya mabao 1-1.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba