Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ubinafsi kikwazo kwa vijana kutoendelea

Sunday , 16th May , 2021

Ukiwa na passion na kitu chochote unaweza kukifanya na kufanikisha,hivyo kwa watu milioni 27.1 ya watanzania kuwa wanatumia internet unapaswa kujua utengeneze kitu gani ili uweze kupata soko.’

Hayo yameelezwa na Benson Shirima mbunifu kupitia Teknolojia wakati akihojiwa na EATV ambapo ameongeza kuna vijana wengi wamemaliza katika vyuo vikuu katika fani za ICT,na wamekaa tu nyumbani kwamba ajira hakuna lakini nchi ina mahitaji mengi yanayohitaji suluhu

''Mimi wakati nasoma,tukifanya malipo ya ada na malipo mengine tulikuwa tunatumia muda mrefu unatoka hapa na kwenda dirisha hili,wakati ingetumika mtandao utakaorahisisha kutoa huduma ingesaidia ni kama sasa malipo mengi ya serikali yanafanyika kwa mtandao,hii inaondoa urasimu na kupoteza muda.'' Benson Shirima mteknolojia wa Mtandao

Akizungumzia vikwazo ambavyo vijana wanakumbana navyo wakati wanataka kujiajiri kupitia Mtandao,anasema cha kwanza ni uthubutu,kuwa nikifeli itakuaje na ubinafsi miongoni mwa vijana.

Ameongeza kuwa ubinafsi huwakwamisha vijana katika kupiga hatua katika kuungana, mfano nina wazo langu na sitaki kushirikisha wengine,na nataka kutengeneza ufalme wa mtu mmoja,na pia kushirikiana na wengine siwezi kwa hofu ya kushika nafasi zetu,na hatuhitaji kuwa na wafalme wawili,haya yote hukwamisha vijana kusonga..

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ