Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mshahara wamuondoa Ramos Madrid

Thursday , 17th Jun , 2021

Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa itaachana na nahodha wake Sergio Ramos pindi mkataba wake na klabu hiyo utakapo malizika mwishoni mwa mwezi huu, baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka 16.

Sergio Ramos

Ramos anaondoka Madrid baada ya kushindwa kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya, ambapo Ramos alikuwa anahihitaji mkataba wa miaka miwili na ongezeko la mshahara, wakati klabu ilimpa ofa ya mkataba wa mwaka mmoja na punguzo la asilimia 10 kutoka kwenye mshahara wake wa sasa, hivyo wakafikia muafaka wa kutosaini mkataba mpya kutokana na kutofautiana kwenye vipengele hivyo.

Mlinzi huyo wa kati mwenye umri wa miaka 35 alijiunga na Madrid mwaka 2005 akitokea Sevilla na ameshinda jumla ya mataji 22 akiwa na Los Blancos ambapo ametwaa ubingwa wa Ligi Kuu La Liga mara 5 na ubingwa wa klabu bingwa ulaya mara 4.

Msimu wa 2020-21 haukuwa mzuri kwa Ramos kwani aliandamwa na majeruhi ya mara kwa mara ambayo yamemsababishia kutojumuhishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Hispania kinachoshiriki michuano ya Euro 2020 inayoendelea. Ndani ya msimu huo alicheza michezo 21 ikiwa ni idadi ndogo zaidi tangu ajiunge na klabu hiyo.

Vilabu vya PSG ya Ufaransa na klabu yake ya zamani ya Sevilla ndio vinatajwa kuonyesha nia ya kuhitaji huduma ya Ramos.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi