Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopelekea DC kutumbuliwa wapigwa marufuku

Thursday , 17th Jun , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin Shigella, amepiga marufuku mgambo wa Manispaa hiyo kuhusika na operesheni yoyote ndani ya mkoa huo hususani za ukusanyaji wa mapato badala yake wabaki kuwa walinzi wa majengo na mali za Halmashauri.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin Shigella

Katazo hilo limekuja zikiwa zimepita siku kadhaa tu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliposhangazwa na mgambo kwa kitendo chao cha kuharibu, kuvunja na kuwapiga wafanyabiashara waliogoma kufanya biashara katika eneo walilopangiwa hali iliyopelekea Mkuu wa wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi wake kufukuzwa kazi mara moja.

"Kuanzia muda huu sitaki tena kuwaona migambo wakifanya operesheni zozote ndani ya mkoa huu, Meya na Mkurugenzi kama bado mnawahitaji endeleeni kuwatumia kwenye ulinzi wa majengo na mali za Halmashauri lakini suala la makusanyo ya mapato, watu wamejipanga vibaya, wame-park katikati ya barabara ziko mamlaka zilizopewa kazi hizo, mgambo siyo kazi yao kuwatoa wananchi kwenye maeneo wanayofanya shughuli zao," amesema RC Shigella.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa