Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uteuzi wa maDC wagusa kila kada

Sunday , 20th Jun , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, aliwahi kunukuliwa kuwa katika kujenga nchi atateua watu kwa kujali uwezo wao katika kuisaidia nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan.

Kauli hii imejidhihirisha kwenye uteuzi wa Wakuu wa Wilaya ambapo amegusa makundi mbalimbali huku watu wanaojihusisha na masuala ya Kijamii pamoja na wanasiasa wakipata nafasi.

Kwa upande wa Jamii uteuzi umemgusa Basilla Mwanukuzi ambaye ni mshindi wa Miss Tanzania miaka ya nyuma na kwa muda mrefu amekuwa akishughulika na masuala ya ustawi wa wanawake huku kwasasa akiwa ni mwandaaji wa shindano la Miss Tanzania. Amekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Tanga.

Wanasiasa chipukizi nao hawajaachwa nyuma ambapo wapo Mbunge wa zamani Halima Bulembo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza.

Aidha wapo pia mbunge wa zamani Peter Lijualikali, ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nkasi.

Aliyewahi kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara.

Mwanasiasa na Mwanasheria Albert Msando pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro.

Chini ni orodha kamili ya Wakuu wa Wilaya.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto