Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njia za biashara ya muziki

Wednesday , 23rd Jun , 2021

Kuna msemo huu wa “Roma haikujengwa kwa siku moja”, ukweli ni kwamba ni ujinga kufikiria kwamba mafanikio yanaweza kupatikana kwa muda mfupi sana. 

Picha Msanii AY (kushoto), Lady Jay Dee (katikati) na Fid Q (kulia)

Tasnia ya muziki haijawahi kuwa kazi rahisi na njia za kujiweka katika nafasi nzuri na kuhakikisha watu wanatambua uwepo wako zimebadilika sana kwa miongo 2 iliyopita licha ya kuwepo nyingi, lakinina bado ninaamini kuwa kuna sababu moja ambayo inaweza kukusaidia kupata riziki kutokana na harakati zako za muziki, huku ukweli unabaki kuwa lazima uwe na nyanja nyingi katika njia yako ya kufanikiwa kama mwanamuziki na kufanya kazi kwa bidii sana.

Baadhi ya njia; 

Ukamilifu wa Muziki – Unatakiwa ujitahidi kila wakati kuwa mchezaji bora, uvumbuzi zaidi, ubunifu kwa hivyo chukua hatua na uhakikishe kila wakati unaweka kila kitu ulicho nacho katika matokeo yako ya ubunifu.

Ubora wa Sauti - Watu wanaposikia wimbo wako kwa mara ya kwanza wanatarajia kiwango fulani cha ubora wa sauti, hakikisha umerekodiwa na umechanganywa (mixing) vizuri na uwasilishe yaliyomo kwenye muziki kwa hisia zote muhimu kwa kutumia njia bora zaidi.

Tangaza Muziki  -  Fanya utafiti kisha chagua mahali sahihi pa kufanyia ‘Music Promotion’ kama ni Redio au Tv ikiwa ni tovuti ama laa! Itasaidia kukuza biashara yako.

Kuwa wa kudumu – Watu hawakutambui kwa mara moja tu, kuijenga chapa (Brand) au jina lako ni mpaka pale watakapokuona/liona mara 3 kwenye hafla tofauti, sio vizuri kuja na kupotea, kuwana mwendelezo ulio bora na imara.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari