Msanii wa filamu Bibi Mwenda kulia, kushoto ni mashabiki wa Simba
Kupitia EATV & EA Radio Digital, msanii wa filamu Bibi Mwenda ambaye ni shabiki wa Yanga amewatolea povu mashabiki wa Simba kwa kusema watapiga kwenye mshono kama walivyowafanya Julai 3 baada ya kuwafunga 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu.
"Nawahusia mashabiki wa Yanga Tanzania nzima kwamba tumewafunga hapa Dar es Salaam na tutawafunga tena Kigoma, tutawanunulia vitenge vya wax kubebea watoto wao, kama walienda kwa bus au ndege njia itawa-cost watapanda treni, Yanga oyeee" amesema Bibi Mwenda
Zaidi mtazame hapo chini akizungumzia hilo