Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Idris Sultan orodha moja na Ronaldo

Tuesday , 10th Aug , 2021

Mchekeshaji Idris Sultan ameingia kwenye orodha ya ma-star wa dunia ambao wametengeneza pesa nyingi zaidi kupitia mtandao wa instagram kwa mwaka 2021 (Instagram Rich List) hii ni kwa mujibu wa tovuti ya Hopper HQ.

Picha ya Mchekeshaji Idris Sultan na Mwanasoka Cristiano Ronaldo

Idris ndiye Mtanzania pekee kwenye list hiyo akiwa anashika nafasi ya 108 duniani na ya 11 kwa Afrika huku akitajwa kutoza kiasi zaidi ya dola elfu 42 ambazo ni sawa na Tsh. Milioni 99.2 kwa post ya tangazo la biashara. 

Na mwanasoka Cristiano Ronaldo anaongoza kwa dunia akiwa anatoza zaidi ya dola Milioni 1.6 ambazo ni zaidi ya Tsh. Bilioni 3.7 huku kwa Afrika Mohamed Salah anaongoza kwa kutoza zaidi ya dola laki 231 ambazo ni sawa na Tsh. Milioni 533.7 kwa post.

Kwenye upande wa muziki, mwimbaji wa Nigeria, Davido yupo nafasi ya 53 na ya 2 kwa Afrika akiwa anatoza kiasi zaidi ya dola laki 128 sawa na Tsh. Milioni 296.4 kwa post ya Tangazo la biashara.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa