
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai
Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 12, 2021, alipowasiliana na East Africa Radio na EATV Digital, alipoulizwa swali kuhusu hatua zitazochukuliwa kwa wabunge hao akiwemo Hamphrey Polepole na Askofu Gwajima waliotoa kauli hizo, kwa kuwa vikao vya Bunge hilo vinatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu.
"Subira yavuta kheri, tusubiri," amejibu Spika Ndugai.