
Waziri wa Fedha katika serikali ya awamu ya tatu Basil Pesambili Mramba, enzi za uhai wake
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, familia imeeleza kwamba kulingana na hali ya sasa ya mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 wanafamilia pekee ndiyo wanaoruhusiwa kufika nyumbani kwa marehemu Oysterbay.
Basil Mramba pia, aliwahi kuwa Mbunge wa Rombo mkoani Kilimanjaro, alizaliwa Mei 15, 1940.