
Kushoto ni Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, na kulia ni Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima
Waziri Dkt.Gwajima, ametoa maagizo hayo wakati akiongea na wananchi wa kijiji cha Kyatungwe mkoani Mara.
Katika hatua nyingine Waziri Gwajima, amepiga marufuku watu wanaoeneza uvumi juu ya chanjo ya Corona ambapo amesema yeye ndio mwenye mamlaka ya kutangaza jambo juu ya afya.