
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kauli hiyo amitoa hii leo Agosti 22, 2021, wakati akipokea kombe la ushindi la Michuano ya Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa Vijana wenye Umri chini ya Miaka 23 (CECAFA Challenge Cup 2021), na kusisitiza kwamba mifuko ya michezo iangalie hatma za wachezaji wanawake kwa siku za usoni.
Tazama video hapa chini