
Picha ya lori kutoka eneo la ajali
Ajali hiyo imetokea barabara ya Mandela eneo la Mwananchi jijini Dar es Salaam, leo Jumapili Agosti 29, 2021.
Watu wanne wamenusurika katika ajali mara baada ya gari la mafuta kuhama barabara na kwenda kugonga nyumba pamoja na nguzo ya umeme.
Picha ya lori kutoka eneo la ajali
Ajali hiyo imetokea barabara ya Mandela eneo la Mwananchi jijini Dar es Salaam, leo Jumapili Agosti 29, 2021.