.jpg?itok=uTFEMfh0×tamp=1630309606)
LUKU
Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 30, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast ya East Africa Radio.
"Hadi sasa kuna wenye nyumba wameonesha ushirikiano, lakini kama itatokea kuna mpangaji ambaye mwenye nyumba amekataa kumrejeshea pesa yake iliyokatwa kwenye LUKU kutokana na kodi ya majengo atuandikie barua au afike kwa Meneja TRA wa mkoa husika na yeye atamuita mwenye nyumba,” amesema Mercy Macha