
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Wilson Ogeta
Wakizungumza na EATV familia ya marehemu wameiomba serikali kuangalia namna ya kurejeshewa eneo lao ambalo lilichukuliwa kinyume na utaratibu.
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Rorya Juma Chikoka, alishiriki katika mazishi hayo amewataka wananchi kuwa wavumilivu katika kipinid hiki na wakati serikali ikishughulikia jambo hilo.
Tazama video hapa chini