Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pacquiao kustaafu ndondi

Thursday , 23rd Sep , 2021

Bingwa wa zamani wa mkanda wa uzito wa kati wa WBA Welter Weight, Manny Pacquiao amesema kwa sasa inatosha kwa maana ya kutaka kuachana na mchezo huo aliutumikia kwa kipindi kirefu.

Bondia Manny Pacquiao (kulia) akizipiga na bondia Yordenis Ugas wa Cuba kwenye pambano la kuwania Mkanda wa Ubingwa wa Uzito wa kati WBA pambano lililofanyika Agosti 2021 ambapo Pacquiao alipoteza mchezo huo.

Kauli ya Pacquiao mwenye miaka 42 inakuja baada ya familia ya bondia huyo kumtaka astaafu haraka.

"Kazi yangu ya ndondi tayari imekwisha. Imefanywa kwasababu nimekuwabkwenye ndondi kwa muda mrefu na familia yangu inasema kuwa inatosha" 

Kwa upande mwingine, Promota wa Pacquiao, Sean Gibbons amesema bondia wake bado haja staafu rasmi ila anatazamia kupata jibu kmaili siku chache zajazo.

"Seneta ni mgombea wa urais na bado hajafanya uamuzi wowote juu ya maisha yake ya ndondi. Katika wiki chache zijazo atafanya uamuzi wa mwisho ikiwa atakuwa na zaidi au atastaafu" Alisema Sean Gibbons Promota wa Pacquiao.

Pacquiao aliyetangaza nia ya kugombea Urais wa Ufilipino kwenye Uchaguzi mkuu wa mwaka 2022, akitangaza kustaafu masumbwi basi pambano lake dhidi ya Yordenis Ugas wa Cuba mwezi uliopita mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kushindwa kuutetea mkana wa WBO.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke