Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Raducanu atolewa nishai BNP Paribas Open

Saturday , 9th Oct , 2021

Bingwa wa tennis wa US Open, Muingereza Emma Raducanu amefungwa seti 6-2, 6-4 na Aliaksandra Sasnovich na kutolewa kwenye hatua ya mzunguko wa pili wa mashindano ya BNP Paribas Open yanayofanyika Indian Wells nchini Marekani.

(Emma Raducanu akiinama kichwa chini baada ya kufungwa seti zote na Sasnovich kwenye BNP Paribas Open jioni ya leo Oktoba 9, 2021 nchini Marekani)

Raducanu anayeshikilia nafasi ya 22 kwa ubora duniani kwa upande wa Wanawake amesema Sasnovich alikuwa bora sana ndiyo maana aliweza kuibuka na ushindi huo.

“Nafikiri Aliaksandra alicheza mchezo mzuri sana. Alikuwa bora kuliko mimi leo, alistahili kupata ushindi. Mimi ni mtu ambaye kitu kikitokea kimetokea kwahiyo ninaweza kujifunza na kujitoa ushamba”.

“Kwenye kufungwa kokote kuna kuwa na dis-appointment. Sikwenda kucheza kwa kujipa presha zaidi ya kushinda kwasababu akili yangu bado haina uzoefu kwahiyo nimepokea kilichotokea” alimalizia hivyo Raducanu.

Kipigp hiko kimemfanya Raducanu mwenye umri wa miaka 18 kushindwa kupata ushindi wake wa 11 mfululizo tokea afungwe mara ya mwisho Agosti 22 mwaka huu.

Ushindi kwa Sasnovich anayeshika nafasi ya 100 duniani acheze na bingwa mara mbili wa Grand Slam, Simona Halep kwenye mzunguko watatu wakati Leyla Fernandez wa Canada makamu bingwa wa US Open ametinga mzunguko watatu baada ya kumfunga Alize Cornet wa Ufaransa kwa 6-2&6-3

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi