Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kwa rekodi hii, Messi ni gwiji Amerika kusini

Monday , 11th Oct , 2021

Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 80 kwa upande wa timu za taifa za bara la Amerika kusini na kumpiku gwiji wa Brazil, Pele mwenye(77).

(Lionel Messi akikabidhiwa picha zawadi ya heshima yenye picha yake na muwakilishi kutoka shirikisho la soka Argentina ikimuonesha akiwa amebeba kombe la Copa Amerika walilolitwaa mwaka huu na yeye akitoa mchango mkubwa pamoja na kuwa mchezaji bora wa mashindano)

Messi ameweka rekodi hiyo usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga bao la kwanza kabla ya Rodrigo De Pol na Lautaro Martinez kufunga bao la pili na la tatu kwenye ushindi wa 3-0 wa Argentina dhidi ya Uruguay kufuzu WC 2022.

Baada ya kufunga bao hilo la kihistoria, Messi ameongelea mchezo huo namna ulivyokuwa kwa kusema,

“Tulicheza mchezo mzuri sana. Kila kitu kilienda kwa usahihi mkubwa. Uruguay wanakusubiria na wanatengeneza hatari. Pindi tulivyopaya goli la kwanza, tulianza kupata nafasi na magoli yakatoke” Alisema Messi.

Argentina ipo nafasi ya pili kwenye kundi la kuwania kufuzu barani Amerika Kusini ikiwa na alama 22 ilhali vinara Brazil ina alama 28 baada ya wawili hao kucheza michezo 10  wakati Ecuardo na Uruguay watatu na wanne wakiwa na alama 16

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala