Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jose Mourinho akutan ana kipigo cha maisha

Friday , 22nd Oct , 2021

Kocha wa AS Roma, Mreno Jose Mourinho amekutana na kipigo Cha mabao 6-1 dhidi ya Bodo/Glimt ya Norway kwenye Mchezo wa UEFA conference league usiku wa Oktoba 21, ikiwa Ni kichapo Kikubwa yangu aache kufundisha Soka.

(Kocha wa AS Roma, Jose Mourinho akionekana kwenye matukio tofauti tofauti.)

Kipigo hiki ni sawa na kile Cha mabao 5-0 alichopokea kutoka kwa FC Barcelona katika Mchezo wake wa kwanza wa El Classico Mnamo mwaka 2010 akiwa Kocha wa real madrid.

Baada ya kichapo hicho, Kocha huyo maarufu Kama "The Special one" alisema kuwa yeye Ndo anastahili Lawama zote za Mchezo na matokeo hayo kutokana na maamuzi ya wachezaji Kucheza na aina ya mfumo ulikuwa Ni mpango kazi wake ambao haukufanya Kazi.

"Niliamua kucheza na safu hii, kwa hivyo jukumu ni langu," aliiambia Sky Sport Italia.

"Nilifanya hivyo kwa nia nzuri, kutoa nafasi kwa wale wanaofanya kazi kwa bidii na kubadilisha kikosi kwenye uwanja wa sintetiki katika hali ya hewa ya baridi".

"Sikuwahi kuficha ukweli kwamba tulikuwa kikosi chenye mapungufu ya kweli. Tuna wachezaji 13 ambao wanawakilisha timu moja, wengine wako kwenye kiwango tofauti."

"Tulipoteza dhidi ya timu ambayo ilionyesha ubora zaidi usiku wa leo." Alisema Mourinho.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala