Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watekaji watatu wa magari wauawa

Wednesday , 1st Dec , 2021

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambanzi wamepoteza maisha katika wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, baada ya kutokea majibizano ya risasi baina ya polisi na watu hao, usiku wa kuamkia leo Desemba 01, 2021, majira ya saa 8:00 usiku.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera Awadhi Haji

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Awadhi Haji, amesema kuwa polisi walipata taarifa za siri kuwa kuna kundi la watu saba wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameonekana katika milima ya Nyabugombe, Kata ya Nyakahura wilayani humo, na kwenda kukabiliana nao.

"Watu hawa walikuwa wanajiandaa kuteka magari na kufanya uporaji wa mali za watu katika eneo hilo, lakini kwa kuwa tulipata taarifa mapema tulifanikiwa kuwadhibiti kabla ya kutekeleza uhalifu," amesema Kamanda Awadhi.

Kamanda huyo amesema kuwa walipofika eneo la tukio waliwaona watu hao wakiwa wamevalia makoti marefu na kwamba walipowaamrisha kusimama ili wakaguliwe, ghafla walianza kuwarushia risasi polisi, nao wakaamua kujibu mapigo na kufanikiwa kuwajeruhi watu watatu na wanne wakafanikiwa kukimbia na eneo la tukio imepatikana bunduki moja aina ya AK 47 na risasi 51.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi