Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini yakamilisha ugawaji 2021

Monday , 6th Dec , 2021

Kampeni ya Namthamini imekamilisha zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule mbalimbali wenye uhitaji kwa mwaka 2021 katika wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Ugawaji wa taulo za kike wilayani Bagamoyo

Shule iliyonufaina na msaada huo ni Shule ya Sekondari ya Matimbwa iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bagamoyo, ambapo jumla ya wanafunzia 100 wamepatiwa taulo za kike kwa mwaka mzima.

Akizungumza kwa niaba ya serikali, Afisa Elimu, anayeratibu masuala ya Afya, Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, Sophia George Killumbi, amesema, "Taulo hizi za kike zitakuwa ni msaada sana kwetu na kwa niaba ya serikali niwakaribishe wilayani kwetu wakati mwingine"

Ndani ya mwaka 2021, kampeni ya Namthamini imefanikiwa kugawa taulo za kike kwa wanafunzi 1500 wa shule mbalimbali kwa mwaka mzima katika mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Kigoma na Pwani.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari